Accueil

     Présentation

     Catalogue général
       Littérature
       Histoire
       Revue In'Hui
       Revue Textyles
       Académie royale
            de langue et
            de littérature

       Harry Dickson
       Steeman
       Ciel
       Espace Sud
       Jesuitica
       Nouvelle Histoire
            de Belgique

       Un Art de Vivre
     Nouveautés

     Liste des Auteurs

     Avis de Parution

     Recherche

     Diffusion

     Contact & vente


 






















Isidore NDAYWEL
   Historia fupi ya Congo, Tangu mwanzo mpaka leo
Version Swahili

      Histoire, 288 pp, 2012
      ISBN 978-2-8710-6586-9
      10,00 €

Kampeni ya mafunzo ya uraia iliyofikia wakati wake mkubwa siku ya kusherehekea kumbukumbu ya myaka makumi matano ya uhuru wa Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo ilikuwa kwetu kishawishi cha kuandika kitabu hiki kuhusu Historia fupi ya Congo.
Ukitegemea maandishi ya Historia ya sasa ya Congo, utungo huu ambao, kwa mara nyingine tena, unahusika na uchambuzi, kwa jumla, wa historia ya Congo tangu mwanzo mpaka leo, unatumainia kuwa chombo rahisi kwa kupata kitakachosaidia fahamu yetu na kukamilisha maelezo zaidi kuhusu nchi hii. Hakika, kuchukua msukumo mzuri zaidi juu ya kujenga nchi bora kuliko mwanzo, ginsi inavyotakiwa na wimbo wa taifa, ni jambo linalotegemea kwanza, kuwa, kila mara, na habari za sasa juu ya historia ya taifa letu.
Na kwa mtu anayejishurlisha na mambo ya nchi ya Congo, akiwa nje ya nchi hii, kitabu hiki kitaweza kumsaidia sana ili ajitilie vitambulisho katika nyakati na mahali, kuelewa wakati wa sasa kwa kutokea asili yake na vilevile kujenga matumaini yake kufwatana na yale yanayotakiwa kila mara na watu.



Le Cri (Mols, EDM s.a.), tienne de la Petite Bilande, 67 - 1300 Wavre - Belgique.
© 2014 Tous droits réservés


 





2004


2005


2004


2002


2001


2004


1998


2005


2001


2004


2004


2004


2002